This is called MBAGALA take two Kariakoooooo Remixxxxx!!!!!!!!!
Tatizo kwetu kariakoo
Daladala, makelele masokoo
Tatizo maisha yangu yahadikoooo
Mapenzi usinifikishie kooniiiiiiiiiii
Kuachwa mi naogopa, usitake fikiria
Eti wanasema uwaminifu unahitajika
Niamini nini wakati hata saa zinakatika
Nakupenda wewe Yule Yule wa kariakoo
Naomba usinimwage na nyanya zangu
Nitaivisha penzi letu zaidi ya ndizi mbivu
Usichukue Suzuki wakati kuna mkokoteni
Nipende kwa dhati wako Yule wa kariakoo
Mara ya kwanza nilipokuona nilikuwa sokoni
Uliacha wapiga debe wote kwangu kununua
Nilipatwa na butwaa bei kupoteza surani mwako
Sababu nipo pale Kariakoo, basi usidhani wa kuja
CHORUS
Tatizo kwetu sisi Kariakoo, ukitoka nje masoko
Tatizo kwetu kwenye mitaro, wewe mtu wa Obey sikuwezi
Tatizo kwetu Kariakooo.....Kariakooooooooooo
Mapenzi ya majuu siyawezi, Kwetu Kariakoooooooooo x3
BRIDGE
Tatizo mimi wa Kariakoo
Usijeukaja kuniumiza koo
Tatizo mimi sio hadikooooo
Basi mapenzi usinifikishie kooniiii
Nasema Kariakooo, kariakooooo
Kariakoooooooo
Basi mapenzi usifikishie kooniiiiiiiii.........x2
No comments:
Post a Comment